1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uchambuzi wa michuano ya Euro 2024

Saleh Mwanamilongo
14 Juni 2024

Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu hatimaye mashindano ya Ubingwa wa Ulaya - UEFA EURO 2024 yanafungua pazia lake Ijumaa 14.06.2024 hapa Ujerumani. Wenyeji Ujerumani wanatumai kupambana vilivyo na kunyakua kombe hilo kutoka kwa mabingwa watetezi Italia. Ufuatao ni uchambuzi wa Bruce Amani na Babu Abdalla kutoka dawati la michezo la DW Kiswahili.

https://p.dw.com/p/4h3Zv