1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania kuwakilishwa na timu moja Kombe la Shirikisho

28 Agosti 2023

Azam FC wameshindwa katika azma yao ya kutaka kusonga mbele kwenye hatua ya muondoano ya Kombe la Shirikisho baada ya kucheza na Bahir Dar ya Ethiopia. Msikilize Mindi Joseph akikusimulia mengi zaidi kuhusiana na mashindano hayo na mengi mengine michezoni kutoka Tanzania.

https://p.dw.com/p/4VehO