1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiJamhuri ya Afrika ya Kati

Mpiganaji Vita II Dunia, anahisi kutelekezwa na Ufaransa

Hawa Bihoga
6 Julai 2023

Moussa Yakite kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati alipigana Vita vya Pili vya Dunia, akiwa upande wa Ufaransa. Miaka 78 baadae hana msaada hata bima ya afya kwa ajili ya matibabu, anahisi kutelekezwa na nchi ya Ufaransa na taifa lake.

https://p.dw.com/p/4TWf3