You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Maandamano Kenya
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
UN yaelezea wasiwasi kuhusu mazingira ya hofu Venezuela
Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi kuhusu "mazingira ya hofu" baada ya uchaguzi nchini Venezuela.
Mvua kubwa Sudan zasababisha vifo vya watu wasiopungua 68
Mamlaka zinasema makaazi ya watu yamebomolewa, mitaa kufurika na kuiongezea masaibu zaidi nchi hiyo iliyozongwa na vita.
Mahakama yaruhusu udukuzi wa simu Munich
Mahakama imetupilia mbali malalamiko dhidi ya udukuzi wa mazungumzo ya simu za wanaharakati wa mazingira.
Wimbi la joto kali lazusha kizaazaa kila kona ya dunia
Wafanyakazi bilioni 2.41 duniani ambao ni asilimia 70 ya nguvu kazi ya ulimwengu, wanakabiliwa na joto kali.
Von der Leyen kuongoza tena Halmashauri ya Ulaya
Chama cha mrengo mkali wa kulia cha Ndugu wa Italia cha Waziri Mkuu wa Italia Giorgia kilimpinga von der Leyen.
Mwanaharakati wa mazingira ahukumiwa miezi 16 Ujerumani
Mwanaharakati wa mazingira ahukumiwa miezi 16 Ujerumani
Taka za plastiki zatumika kama malighafi mbadala kwa mbao
Wakati dunia ikipambana na ukataji miti kwa ajili za matumiyi za kibinaadamu, kiwanda hiki kinatumia taka za plastiki kama malighafi kutengeneza samani na bidhaa za ujenzi. Tazama kisha tuachie maoni yako.
Kongo yaandaa mkutano wa kilele wa misitu barani Afrika
Mkakati wa muongo wa Afrika wa kudhibiti ukataji na upandaji wa miti ulizinduliwa na Rais wa Kongo Denis Sassou Nguesso.
Mpinzani wa mradi wa TotalEnergies aachiliwa huru
Mashirika ya kutetea haki za binadamu yalionyesha wasiwasi kuhusu hatima ya Kwikiriza baada ya kutoweka siku ya Jumanne.
Rais Joe Biden ampongeza Modi kwa kushinda uchaguzi
Marekani imeahidi kuimarisha na kuendeleza ushirikiano na India katika sekta za kiuchumi, teknolojia hadi hali ya hewa.
Uokoaji wasitishwa eneo la maporomoko Papua New Guinea
Juhudi za uokoaji zasitishwa eneo la maporomoko ya ardhi, Papua New Guinea
Ongezeko la joto duniani linaongezeka kwa kasi kubwa
Ongezeko la joto duniani linaongezeka kwa kasi kubwa
Maelfu wahamishwa kusini mwa Ujerumani kufuatia mafuriko
Maelfu ya watu katika majimbo ya Bavaria na Baden Wuerttemberg wamelazimika kuyaacha makaazi yao kufuatia mvua kubwa.
IMF kutoa dola milioni 70 za ufadhili kwa Niger
Makubaliano baina ya shirika la IMF na nchi ya Niger yanahusu pia miradi ya kushughulikia mabadiliko ya tabia nchi.
Benki ya Dunia yaipa Kenya msaada wa dola bilioni 1.2
Ufadhili wa Benki ya Dunia walenga kuimarisha ushindani zaidi wa soko la ajira la Kenya.
Mwaka jana ulishuhudia siku 26 zaidi za joto kali
Ulimwengu ulishuhudia wastani wa siku 26 za joto kali katika kipindi cha miezi 12 iliyopita yasema ripoti ya IFRC.
Zaidi ya watu 2,000 wafukiwa na udongo Papua New Guinea
Wakaazi na vikosi vya uokozi wamekuwa wakitumia machepeo na mbao kuwatafuta waliofukiwa na maporomoko.
Mamia wahofiwa kufa kwa maporomoko Papua New Guinea
Eneo lililoathirika linasadikiwa kuwa linakaliwa na karibu wakazi 3,000.
Ujerumani yatakiwa kuimarisha sera za ulinzi wa mazingira
Ujerumani, imeweka shabaha ya kupunguzwa kwa uzalishaji wa gesi chafu katika kipindi cha mwaka 2024 hadi 2030.
Kwa nini India haipigii debe mabadiliko ya tabianchi?
Asilimia 80 ya watu wa India wanaishi katika maeneo yanayoweza kukumbwa na maafa makubwa ya mabadiliko ya tabianchi.
Athari za mafuriko na kimbunga kusini mwa Tanzania
Athari za mafuriko na kimbunga kusini mwa Tanzania bado zinashuhudiwa, ikiwemo kukatika kwa mawasiliano ya barabara na kusababisha adha ya usafiri. Wizara ya Ujenzi katika taifa hilo la Afrika mashariki imesema bado inafanyia kazi changamoto hiyo ili kurejesha huduma ya usafiri kwenye utaratibu wa kawaida.
Ujerumani imevuka kiwango chake cha ikolojia kwa mwaka
Tayari Ujerumani imeshavuka viwango vyake vya mwaka vya matumizi ya rasilimali za kiikolojia kwa mwaka.
Watu 48 wafariki baada ya barabara kuporomoka China
Idadi ya watu waliofariki kufuatia mmomonyoko wa udongo China imeongezeka hadi watu 48 huku wengine 30 wakijeruhiwa.
01.05.2024: Matangazo ya asubuhi
Sikiliza matangazo ya asubuhi ya DW Kiswahili
Mabadiliko ya Tabianchi yanavyoathiri wafanyakazi duniani
Shirika la Kazi la Umoja wa Mataifa, ILO laonya juu ya athari za mabadiliko ya Tabianchi kwa wafanyakazi ulimwenguni.
Mazungumzo ya uchafuzi wa plastiki yapiga hatua
Mazungumzo ya uchafuzi wa plastiki yapiga hatua karibu kufikia makubaliano ya kwanza.
Bwawa lapasua kingo na kusababisha maafa Kenya
Watu kadhaa wamefariki baada ya bwawa la Kijabe kupasua kingo zake na kusababisha mafuriko nchini Kenya. Watu kadhaa wameathirika kufuatia mkasa huo, ikiwemo nyumba zao kusombwa na maji na miundombinu ya barabara kuharibika vibaya.
Watu wasiopungua 70 wafariki Kenya kufuatia mafuriko
Kwa wiki kadhaa sasa, nchi hiyo ya Afrika Mashariki imekuwa ikishuhudia mvua kubwa iliyosababisha mafuriko
India kuanza duru ya pili ya uchaguzi
Waziri Mkuu Narendra Modi anatarajiwa kushinda kwa awamu ya tatu katika uchaguzi huo wa India.
Jamii asilia, Brazil zashinikiza ardhi yao kutambuliwa
Karibu asilimia 13 ya Brazil ni maeneo ya jamii asilia na mengi ya maeneo hayo yako katika msitu wa Amazon.
UNHCR yazindua hazina ya wahanga wa majanga ya hali ya hewa
Filippo Grandi asema athari za mabadiliko ya hali ya hewa zinazidi kuwa mbaya
Athari za mabadiliko ya hali ya hewa Afrika
Kuanzia kaskazini hadi kusini, nchi nyingi barani Afrika zimeathiriwa na athari za mabadiliko ya hali ya hewa. Ukame uliokithiri, mafuriko na hali ya kuongezeka kwa joto. Malawi, Kenya na Mali pia hivi karibuni zimekabiliwa na majanga yanayohusiana na hali ya hewa.
Viongozi wajadili mkataba wa taka za plastiki
Viongozi wa kimataifa wamekusanyika kwa mazungumzo ya mkataba wa kukabiliana na uchafuzi wa plastiki duniani.
Mkutano wa kukabiliana na taka za plastiki waanza Ottawa
Wawakilishi kutoka nchi zaidi ya 170 duniani wanatarajiwa kushiriki mazungumzo hayo ambayo yatafanyika hadi Jumatatu.
Mkutano wa kimataifa dhidi ya taka za plastiki kuanza tena
Wapatanishi hao tayari wamekutana mara tatu na wanatarajiwa kufanya duru ya mwisho ya mazungumzo nchini Korea Kusini.
El Nino, sio mabadiliko ya tabianchi, chanzo cha ukame
Ripoti ya wanasayansi ilisema ukame uliosababisha njaa kwa mamilioni ya watu kusini mwa Afrika ilitokana na El Nino.
Burundi yaomba msaada kukabiliana na athari za mvua
Burundi na Umoja wa Mataifa zimetoa wito wa msaada wa kifedha ili kukabiliana na athari mbaya ya mvua mkubwa nchini humo
Mabadiliko ya tabianchi yasababisha joto kali Sahel
Mabadiliko ya tabia nchi yametajwa kuwa chanzo cha ongezeko la joto kuwahi kwenye Ukanda wa Sahel katika mwezi Aprili.
Karibu watu 19 wafa kwa maporomoko ya udongo, Indonesia
Mvua kubwa kabisa za hivi karibuni zimesababisha eneo hilo na mengine kuathiriwa na maporomoko ya udongo.
Greta Thunberg akamatwa na polisi wa Uholanzi
Wanaharakati wanashinikiza kuondolewa ruzuku zote zinazoelekezwa kwenye matumizi ya mafuta ya kisukuku.
Kimbunga Gamane chaua watu 11 nchini Madagascar
Vimbunga na hali mbaya ya hewa vinachangiwa kwa kiasi kikubwa na mabadiliko ya hali ya hewa ulimwenguni.
Shule za Sudan Kusini kufunguliwa tena
Masomo kwenye taasisi za juu na shule za maeneo ya mashambani ziliendelea na masomo licha ya tahadhari.
Wanaharakati wa mazingira mbioni kuhifadhi msitu wa Aberdare Kenya
Muungano wa wahifadhi wa mazingira nchini Kenya unaowakilisha mashirika 73 wamewasilisha ombi kwa mahakama ya kitaifa ya mazingira kusitisha mradi wa ujenzi wa barabara kuu ya Ndunyu Njeru – Ihithe itakayopita katikati ya msitu na mbuga ya wanyama pori ya Aberdare, wakihoji kwamba madhara itakayosababisha kwa mfumo wa ikolojia, inapita faida zozote zinazowezekana.
UN: Dunia hatarini kutokana na mawimbi ya joto
Umoja wa Mataifa umesema kuwa viwango vya joto duniani vilivunja rekodi mwaka uliopita wa 2023.
Matumizi ya pikipiki za umeme Kigoma
Wakati ulimwengu ukihimiza matumizi ya nishati ya kijani, kijana Frednand Laulian ametumia maarifa yake kutengeneza pikipiki isiyotumia mafuta akiwa na lengo la ulinzi wa mazingira lakini kukabiliana na kupanda kwa bei ya nishati ya mafuta kusikotabirika.
Miaka 13 tangu kutokea ajali ya Fukushima
Ajali ya Fukushima inazingatiwa kuwa janga la pili la nyuklia katika historia ikilinganishwa na janga la Chernobyl.
Msichana mdogo anayefanya harakati za kutunza mazingira
Sheila Juma ni msichana mdogo anaeendesha harakati za mwanmake kulinda mazingira kupitia taulo za kike.
Mataifa ya Ulaya lazima yajiandae na ongezeko la joto
Umoja Ulaya lazima ujiandae na ongezeko la joto
Madaktari waandamana Ujerumani kupigania hali njema kwao
Maelfu ya madaktari wa Ujerumani wagoma kushinikiza mishahara bora na mazingira mazuri
Wanawake wakulima wanakabiliwa na athari za kimazingira
Wanawake wakulima wanakabiliwa na athari za kimazingira
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 1 wa 19
Ukurasa unaofuatia