1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 22.07.2017

22 Julai 2017

Katika matangazo yetu leo mchana: Baraza la seneti nchini Poland lapitisha sheria itakayoipa serikali uwezo wa kushawishi mahakama kuu nchini humo. Ujerumani yahimiza urafiki baina ya raia wake na Waturuki walio ndani ya nchi hii. Rais wa mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas akatisha mawasiliano rasmi na Israel

https://p.dw.com/p/2h0MW