You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Picha: DW
Zainab Aziz
Mhariri na mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya DW
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Zainab Aziz
Taarifa zilizoonesha na Zainab Aziz
Ujerumani: Jinsi ya kuilinda Mahakama ya Juu
Wanasheria nchini Ujerumani wanaandaa mipango ili kuilinda mahakama ya juu dhidi ya uwezekano wa kuhujumiwa.
Uchumi wa Senegal kuzorota sababu mkwamo wa kisiasa
Kampuni za nje zimo katika hali ya wasiwasi nchini Senegal kutokana na ghasia zilizosababishwa na kuahirisha uchaguzi.
Nchi za Ghuba zimejiandaaje baada ya biashara ya mafuta?
Nchi za Ghuba zina mpango kabambe wa nishati endelevu lakini mataifa hayo yamejipangaje baada ya biashara ya mafuta?
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Zainab Aziz
Taarifa na Zainab Aziz
Zelensky atembelea Donetsk eneo la mstari wa mbele la vita
Zelensky atembelea Donetsk eneo la mstari wa mbele la vita
Urusi na Ukraine zabadilishana wafungwa wa kivita kwa upatanishi wa Umoja wa Falme za Kiarabu
Mabadiliko ya uongozi kwenye Jumuiya ya kijeshi ya NATO
Mabadiliko ya uongozi kwenye Jumuiya ya kijeshi ya NATO
Kwa mujibu wa taarifa, Waziri Mkuu wa Uholanzi Mark Rutte, anatarajiwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa jumuiya ya kujihami ya NATO baada ya mpinzani wake rais wa Romania Klaus lohannis, kujoindoa kwenye kinyangànyiro. Mtayarishaji Zainab Aziz
Nani wakulaumiwa vifo vya Mahujaji huko Makka?
Nani wakulaumiwa vifo vya Mahujaji huko Makka?
Nani wakulaumiwa au nini kilichosababisha vifo vya Mahujaji huko Makka?
Rais wa Kenya asema yuko tayari kuzungumza na Gen-Z
Rais wa Kenya asema yuko tayari kuzungumza na Gen-Z
Vijana wa rika la Gen-Z bado hawajatoa majibu kama wamekubali kukutana na Ruto au la
Matangazo ya Jioni 23.06.2024
Matangazo ya Jioni 23.06.2024
Rais William Ruto wa Kenya asema yuko tayari kwa mazungumzo na waandamanaji. Waziri wa ulinzi wa Israel aelekea Marekani kwa mazungumzo kuhusu vita vya Gaza. Zaidi ya mahujaji 1,000 wamekufa kutokana na joto kali wakati wa Hija ya mwaka huu nchini Saudi Arabia
Afrika katika Magazeti ya Ujerumani
Afrika katika Magazeti ya Ujerumani
Afrika katika magazeti ya Ujerumani inaangazia juu ya kuundwa serikali ya kitaifa nchini Afrika Kusini baada ya uchaguzi mkuu. Je kitatokea nini ikiwa waasi wa M23 wanaidhibiti sehemu ya migodi katika jimbo la Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo? Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa ishara ya nguvu kwa pande zinazopigana nchini Sudan ziutatue mgogoro wao haraka.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo