1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kwa nini wanaume wengi hawatafuti msaada wa afya ya akili ?

27 Mei 2024

Katika mwezi huu wa kuhamasisha jamii kuhusu afya ya akili, swali linalozidi kuibuka ni: kwa nini wanaume wengi hawatafuti msaada wa afya ya akili? Kulingana na wataalamu wa saikolojia, inaonekana kuwa wanawake wengi wanagunduliwa na matatizo ya afya ya akili ikilinganishwa na wanaume. Lakini, ni nini hasa kinachosababisha tofauti hii ?

https://p.dw.com/p/4gKC2