1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kutibu majeraha yaliosababishwa na vita Ukraine

Hawa Bihoga
29 Aprili 2024

Zaidi ya wanajeshi elfu ishirini waliojeruhiwa walifika katika hospitali ya Mechnikov katika eneo la Dnipro, tangu Urusi ilipoivamilia kikamilifu Ukraine mnamo Februari 2022. Daktari Valentyna Lisnycha katika hospitali hiyo inayotibu wanajeshi waliojeruhiwa vitani pamoja na timu yake wamejitolea kuokoa maisha ya askari.

https://p.dw.com/p/4fIv7