1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kombe la Dunia Qatar liliongeza majeraha kwa wachezaji Bundesliga

20 Novemba 2023

Utafiti mmoja umefichua Kombe la Dunia lililochezwa katikati ya misimu ya kandanda ya vilabu, liliwapelekea wachezaji katika ligi tano kuu za Ulaya, kujeruhiwa kwa wastani wa siku 8 zaidi. Kampuni ya bima ya Howden imechapisha faharasa yake ya majeraha katika kandanda la Ulaya kwa msimu uliopita, mwaka mmoja baada ya Kombe la Dunia. Isikilize tathmini ya Bruce Amani kuhusiana na sual hili.

https://p.dw.com/p/4ZE4s