1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya itatamba mbele ya Ushelisheli na Tanzania itakiweza kishindo cha Morocco?

20 Novemba 2023

Kunachezwa mechi za kuwania kufuzu katika mashindano ya Kombe la Dunia Afrika, Kenya ikiwa mgeni wa Ushelisheli kisha Jumanne Tanzania itacheza na Morocco na Somalia dhidi ya Uganda. Ili kupata tathmini kamili ya hali ya timu za Afrika Mashariki katika mchakato huu wa kuwania kushiriki mashindano hayo, Jacob Safari amezungumza na mwandishi wa michezo kutoka Mombasa, huko Kenya, Anthony Aroshee.

https://p.dw.com/p/4ZEMm
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild I Kinderarbeit in Honduras
Picha: Rafael Ochoa/Photoshot/picture alliance Picha: Rafael Ochoa/Photoshot/picture alliance

Michezo