1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Guirassy aendelea kuitetemesha Bundesliga

9 Oktoba 2023

Mkenya Kelvin Kiptum aivunja rekodi ya dunia ya mbio za marathon iliyowekwa na Mkenya mwenzake Eliud Kipchoge ila kocha wake ahofia nyota huyo huenda akawa na taaluma fupi, Serhou Guirassy mshambuliaji wa VfB Stuttgart apepea katika Bundesliga na je, nani atakayemsimamisha mchezaji wa zamani wa Borussia Dortmund Jude Bellingham huko Real Madrid? Msikilize Jacob Safari na kipindi cha michezo.

https://p.dw.com/p/4XJJx