1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Dortmund wawalazimisha sare Leverkusen

4 Desemba 2023

Vinara wa Bundesliga Bayer Leverkusen wapoteza pointi kwa mara ya pili msimu huu ila bado wanasalia kutofungwa, kocha wa Manchester City Pep Guardiola amlalamikia muamuzi wa mechi yao dhidi ya Spurs na Kenenisa Bekele aweka rekodi ya kuwa mwanariadha mwenye umri mkubwa zaidi kukimbia marathon chini ya saa mbili na dakika tano.

https://p.dw.com/p/4ZlbA