1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

APR ya Rwanda yasonga mbele CAF Kombe la Mabingwa

28 Agosti 2023

Timu ya APR FC ya Rwanda imeibandua Gaadiidka FC kutoka Somalia kwa jumla ya magoli 3-1 katika michuano miwili ya mchujo ya kusaka tikiti ya Kombe la CAF Ligi ya Mabingwa Afrika 2024. Mechi iliyochezwa katika uwanja wa Pele, jijini Kigali. Msikilize mwandishi wa DW Christopher Karenzi.

https://p.dw.com/p/4Vf7Z