1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiIran

Aliyekuwa Rais wa Iran, Ebrahim Raisi kuzikwa leo

Hawa Bihoga | Babu Abdalla
23 Mei 2024

Maelfu ya watu wameshiriki mazishi ya Rais wa Iran Ebrahim Raisi katika mji alikozaliwa wa Mashhad, siku nne baada ya kufariki katika ajali ya helikopta pamoja na waziri wake wa mambo ya nje Hossein Amir-abdollahian na watu wengine sita.

https://p.dw.com/p/4gDK8