1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika Wiki Hii: Raia wa Kongo wamlilia Rais Tshisekedi

14 Aprili 2024

Katika Afrika Wiki Hii, utasikia pamoja na mengineyo, hali ya usalama katika mkoa wa Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yazidi kuzorota kufuatia kujiimarisha kwa waasi wa M23. Nchini Mali, serikali ya kijeshi yatangaza kusitisha shughuli zote za vyama vya kisiasa. Na huko nchini Tanzania, baadhi ya maeneo yakumbwa na mafuriko.

https://p.dw.com/p/4ejst