1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika Wiki Hii: Azali Assoumani wa Comoro arudi madarakani

19 Januari 2024

Kwenye makala ya Afrika Wiki Hii utasikia pamoja na mengine, kurejea madarakani wa Rais wa Comoro Azali Assoumani baada ya kushindwa uchaguzi, Jumuiya ya IGAD yawasihi wakuu wa majeshi yanayohasimiana nchini Sudan kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waasi wa M23 wauchukua tena moja ya miji mikubwa. Ungana na Zainab Aziz kwenye makala haya.

https://p.dw.com/p/4bTq5