1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanawake wa Goma wanateseka baada ya mlipuko wa volkano

Benjamin Kasembe4 Agosti 2021

Maelfu ya wanawake kutoka mjini Goma, Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo, wanaoishi katika kambi za hifadhi wanakabiliwa na changamoto nyingi baada makazi yao kuteketea kwa lava ya volkano ya Nyiragongo tarehe 22 Mei.

https://p.dw.com/p/3yWBG