1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakaazi Abidjan waweka mifumo ya maji taka kulinda afya

Hawa Bihoga
25 Septemba 2023

Taka imekuwa ni kero kubwa na kuhatarisha afya ya jamii katika moja ya kitongoji katika mji wa kiuchumi Ivory Coast Abidjan, kundi la vijana limeamua kutosubiri mamlaka kuchukua hatua, wameamua kutengeneza mifumo ya maji taka ili kuondoa tatizo kadhalika kuleta ustawi wa afya ya jamii katika eneo husika.

https://p.dw.com/p/4WmC7