1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Viongozi wa Afrika wataka kumaliza mzozo wa Ukraine

Hawa Bihoga
16 Juni 2023

Ujumbe wa Afrika ambao unahusisha viongozi kutoka Afrika Kusini, Senegal, Comoro na Misri, unatarajiwa kukutana na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy na kisha kufanya mazungumzo na rais wa Urusi Vladmir Putin mjini St Petersberg kesho Jumamosi.

https://p.dw.com/p/4SgIk