1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana wanamudu shinikizo la mitandao ya kijamii?

Veronica Natalis
23 Januari 2024

Utakubali katika dunia ya sasa ni changamoto kuishi bila ya mitandao ya kijamii sababu utapitwa na mambo mengi muhimu, ikiwemo mtindo wa maisha, na hata habari za kila siku. Kwa hatua hiyo, shinikizo kwa vijana ni kubwa katika malengo waliojiwekea na wakati mwingine hubadili hata yale walioyapanga maishani sababu tu ya shinikizo kwenye mitandao.

https://p.dw.com/p/4ba5D
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio