1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana na Uongozi: Ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano

Anuary Mkama19 Januari 2024

Kwenye Makala ya Vijana na Uongozi, utamsikia Maxence Melo, mmiliki wa Jukwaa la Jamii Forums nchini Tanzania akizungumzia masuala mbalimbali kuanzia hatua zilizopigwa kwenye eneo zima la ukuaji wa sekta ya teknolojia na mitandao ya kijamii iliyorahisha pakubwa mawasiliano. Ana mengi ya kukueleza msikilizaji. Tafadhali ungana naye hapa anapozungumza na mwenzetu Anuary Mkama.

https://p.dw.com/p/4bTk8
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Makala zetu