1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
UchumiAfrika

Uzalishaji wa ngozi ya samaki unavyotoa ajira kwa wanawake Kenya

2 Februari 2022

Miaka miwili iliyopita imeshuhudia ongezeko la matumizi ya ngozi ya isiyo ya wanyama kutengeneza mabegi na viatu. Nyenzo nyingine ambayo inaongezeka zaidi ni ngozi ya samaki, na mfanyabiashara mmoja anayeishi Kisumu, Kenya, amepata njia za kufanya uzalishaji wake kuwa rafiki wa mazingira huku pia akitoa kazi kwa wanawake wa eneo hilo.

https://p.dw.com/p/46R3p