1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maisha

Utamaduni na Sanaa: Mradi wa Tamaduni Zetu, Kesho Yetu

Salma Mkalibala/ MMT20 Julai 2023

Kipindi cha Utamaaduni na Sanaa kinaangazia hatua ya uwezeshwaji na uendelezwaji wa Makungwi, kupitia mradi wa 'Tamaduni Zetu, Kesho Yetu' katika kuondokana na mila na desturi kandamizi, unaondeshwa na Shirika lisilo la Kiserikali la Faidika Wote Pamoja-FAWOPA, mkoani Mtwara Kusini mwa Tanzania. Sikiliza makala hii iliyotayarishwa na Salma Mkalibala.

https://p.dw.com/p/4UBPw