1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Miaka 25 ya Putin madarakani na ushawishi wa Urusi Afrika

9 Agosti 2024

Miaka 25 ya utawala wa Vladimir Putin nchini Urusi imeshuhudia kutanuka kwa ushawishi wake barani Afrika. Baada ya kipindi fulani cha kudumaa, mahusiano kati ya Afrika na Urusi yamebadili mwelekeo, na Moscow imejipatia nafasi kwenye mioyo ya waafrika wengi.

https://p.dw.com/p/4jIE9