1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Usafirishaji haramu wa binaadamu watishia watoto wa Afrika

31 Julai 2023

Usafirishaji haramu wa watoto na unyonyaji unazidi kuongezeka katika njia ambayo hutumiwa na wahamiaji wasio na vibali wanapitia kutoka Pembe ya Afrika hadi Saudi Arabia. Umoja wa Mataifa umesema wavulana na wasichana wenye umri wa miaka 13 hadi 17 wako hatarini zaidi. #IOM

https://p.dw.com/p/4Uapf