1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uraibu wa mihadarati miongoni mwa wanawake Afghanistan

24 Agosti 2022

Katika makala ya wanawake na maendeleo leo, yanayojadiliwa ni masuala na matukio yanayowahusu akina mama duniani kote. Na wiki hii Zainab Aziz analiangalia suala la jinsi akina mama wa Afghanistan wanavyolikabili tatizo la uraibu wa mihadarati nchini humo.

https://p.dw.com/p/4FyXo