1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uganda inavyokabiliwa na tatizo kubwa la afya ya akili

Ibrahim Swaibu9 Juni 2023

Nchini Uganda hali inatia wasiwasi, takwimu za wizara ya afya zinaonyesha kuwa takriban watu milioni 14 wanakabiliwa na tatizo la afya akili. Kinachoshangaza ni kwamba baadhi ya waathiriwa hawatambui kwamba wana matatizo hayo. Katika makala hii ya Afya yako, Ibrahim Swaib analiangazia kwa kina tatizo hilo.

https://p.dw.com/p/4SOJl