1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ufahamu ugonjwa wa Dyslexie ambao huwapata watoto

21 Agosti 2023

Dyslexia ni tatizo la afya linalowapata baadhi ya watoto ambao hupata changamoto kutambua herufi zinazounda maneno na baadhi ya namba, baadhi ya wazazi hufikiri watoto hawana kumbukumbu nzuri.

https://p.dw.com/p/4VP8w
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Malawi 2015 | Überschwemmungen - Malaria-Test
Picha: Ashley Cooper/Global Warming Images/dpapicture alliancePicha: Ashley Cooper/Global Warming Images/dpapicture alliance

Kurunzi Afya

DW Kisuaheli inakuletea vidio maalumu kuhusu masuala ya afya. Kila wiki Dkt. Sizya atakuwa akikuelimisha kuhusu mada muhimu zinazuhusu afya yako.