1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

"Tupo site kata simu"

Hawa Bihoga17 Januari 2023

Kuna misemo fulani huzuka na kisha kusambaa katika mitandao na hatimae kuaza hata katika majukwaa rasmi miongoni mwa vijana. Katika Vijana Mchakamchaka tunajadili kwa namna gani misemo hii imekuwa ikirahisisha mawasiliano baina ya vijana

https://p.dw.com/p/4MILg