1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi Novemba 19, 2021

V2 / S12S19 Novemba 2021

Ujerumani yaweka masharti mapya ya kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.// Kenya yatangaza kuimarisha usalama baada ya kukamatwa kwa wafungwa hatari waliotoroka jela.// Maafisa wa usalama nchini Uganda wamuua kiongozi mmoja wa kidini kufuatia misako ya baada ya mashambulizi ya mabomu

https://p.dw.com/p/43DH9