SiasaTaarifa ya Habari za Asubuhi: 03.07.2021To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaZainab Aziz03.07.20213 Julai 2021Umoja wa Mataifa wasema zaidi ya watu laki nne wakabiliwa na baa la njaa katika jimbo la Tigray. Majeshi yote ya kimataifa yaondoka kutoka nchini Afghanistan. IMF yatetea uamuzi wa kuiongezea Uganda mkopo wa mabilioni.https://p.dw.com/p/3vyGMMatangazo