1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi ya tarehe 17.10.2023

V2 / S12S17 Oktoba 2023

Umoja wa Mataifa wasema hali katika Ukanda wa gaza yazidi kudorora.// Ubelgiji yatangaza tahadhari ya juu zaidi ya kitisho cha ugaidi katika mji wake mkuu Brussels.// Na Vyama vya upinzani nchini Poland vyatazamiwa kupata viti vingi bungeni baada ya uchaguzi uliofanyika Jumapili.

https://p.dw.com/p/4XbvV
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Symbolbild Weltwirtschaft Global Economy Globalisierung
Picha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago imagesPicha: Kheng Ho Toh/PantherMedia/imago images

Asubuhi: Taarifa ya Habari, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Pata Taarifa ya Habari ya Asubuhi, saa 12:00 (Afrika Mashariki)