1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 31.07.2017

31 Julai 2017

Katika taarifa ya habari za ulimwengu leo asubuhi: Waziri wa ulinzi wa Ujerumani Ursula von der Leyen aomboleza vifo vya wanajeshi wawili waliokufa baada ya helikopta yao kuanguka nchini Mali. Venezuela yapiga kura yenye utata ili kubadilisha katiba ya nchi hiyo. Wapiganaji wa Al Shabaab nchini Somalia wadai kuwauwa askari 39 wa kikosi cha Umoja wa Afrika.

https://p.dw.com/p/2hPsh