Muasisi wa tovuti ya kuvujisha nyaraka za siri Julian Assange amefikia makubaliano na Marekani. Blinken aitolea wito Israel kuendeleza juhudi za kuepusha kutanuka kwa mzozo kati yake na Lebanon. Urusi yaahidi kulipiza kisasi dhidi ya Marekani kufuatia shambulizi la Ukraine katika rasi ya Crimea.