1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari ya Asubuhi 02.09.2024

Josephat Charo
2 Septemba 2024

Chama cha Mbadala kwa Ujerumani AfD chashinda uchaguzi wa jimbo la mashariki la Thuringia. China yautaka Umoja wa Ulaya uwe makini kuhusu masuala ya bahari ya China Kusini. Na Viongozi wa nchi za Afrika waelekea Beijing kuhudhuria mkutano kati ya China na bara la Afrika.

https://p.dw.com/p/4kA2p