1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari, Saa 12:00 Asubuhi (Afrika Mashariki

Daniel Gakuba
22 Novemba 2017

https://p.dw.com/p/2o1hh

Wazimbabwe washerehekea usiku kucha baada ya kujiuzulu kwa Rais Robert Mugabe, Rais wa Shirikisho la Ujerumani afanya juhudi za kufufua mazungumzo ya kuunda serikali ya mseto ambayo yamevunjika. Waziri Mkuu wa zamani wa Lebanon Saad al-Hariri arejea nchini mwake, wiki mbili baada ya kujiuzulu akiwa nchini Saudi Arabia.