Shirika la Afya Duniani limeelezea kusikitishwa na unyanyasaji wa kingono uliofanywa na wafanyakazi wa mashirika ya misaada nchini Kongo//Mgombea wa Ukansela wa vyama vya muungano wa kihafidhina vya CDU na CSU Ujerumani, Armin Laschet anakabiliwa na mvutano unaoendelea ndani ya chama chake//Viongozi wa jeshi la Marekani wamesema walimshauri Rais Joe Biden kutowaondoa wanajeshi wote Afghanistan