1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 23.10.2018

23 Oktoba 2018

Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi la Marekani, CIA Gina Haspel ameelekea Uturuki kusaidia kuchunguza mauaji ya Jamal Khashoggi//Ujerumani imesema itatafuta msaada wa Jumuia ya Kujihami ya NATO ili kuulinda mkataba wa kudhibiti silaha za nyuklia kati ya Urusi na Marekani//Umoja Mataifa umesema mzozo wa Yemen umewaacha watu milioni 8.4 wakitegemea msaada wa dharura wa chakula

https://p.dw.com/p/36yu5