1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 22.11.2018

22 Novemba 2018

Saudi Arabia imesema kumuwajibisha mrithi wa kiti cha ufalme Mohammed Bin Salman kutokana na mauaji ya Jamal Khashoggi ni jambo lililovuka mipaka // Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May amesema atarejea Ubelgiji siku ya Jumamosi kuendelea na mazungumzo ya Brexit // Marekani imesema mazungumzo ya amani ya kumaliza vita Yemen yatafanyika mwanzoni mwa mwezi Disemba nchini Sweden

https://p.dw.com/p/38h6Q