1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 22.02.2020

22 Februari 2020

Mwanaume mmoja wa Italia amefariki duniani kutokana na virusi vya Corona na hivyo kifo hicho kuwa cha kwanza kutokea barani Ulaya // Uganda imetakiwa kuchunguza shughuli zinazofanywa na waasi wanaoipinga serikali ya Rwanda // Uturuki imeitaka Urusi kuishawishi serikali ya Syria kusitisha mapigano kwenye jimbo la Idlib

https://p.dw.com/p/3YAql