1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 21.01.2022

21 Januari 2022

Jumuiya ya Kujihami ya NATO imesema matamshi ya Rais wa Marekani Joe Biden, sio ruhusa kwa Urusi kuivamia Ukraine // Kiongozi wa kijeshi wa Sudan, Abdel Fattah al-Burhan amewateua mawaziri 15 katika serikali // Umoja wa Mataifa umepitisha azimio linalozitaka nchi zote wanachama kukemea vitendo vinavyokanusha au kupotosha mauaji ya Wayahudi na chuki dhidi ya Wayahudi

https://p.dw.com/p/45rsi