1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 18.11.2017

18 Novemba 2017

Chama tawala nchini Zimbabwe ZANU-PF kimemtaka Rais Robert Mugabe ajiuzulu // Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi umekamilika rasmi usiku wa jana mjini Bonn, Ujerumani // Urusi imepiga tena kura ya turufu kuzuia azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu uchunguzi wa mashambulizi ya silaha za kemikali nchini Syria.

https://p.dw.com/p/2nqnw