1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 09.02.2019

9 Februari 2019

Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro amesema hatoruhusu msaada wa kibinaadamu kuingia nchini mwake // Mkutano wa Rais Donald Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un kufanyika Hanoi // Ugiriki imeidhinisha hatua ambazo zitairuhusu Macedonia kujiunga na Jumuia ya Kujihami ya NATO

https://p.dw.com/p/3D2gf