1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 06.01.2020

6 Januari 2020

Viongozi wa Ujerumani, Ufaransa na Uingereza wameitaka Iran kuuheshimu mkataba wa nyuklia uliofikiwa mwaka 2015 // Rais wa Marekani, Donald Trump ametishia kuiwekea Iraq vikwazo baada ya bunge la nchi hiyo kupiga kura kuvitaka vikosi vya Marekani viondoke Iraq // Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linakutana leo kuijadili hali inayoendelea nchini Libya

https://p.dw.com/p/3VkJB