1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaUkraine

Taarifa ya Habari Asubuhi 02.02.2023

2 Februari 2023

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema vikosi vya Urusi vinafanya mashambulizi kuelekea eneo la mashariki//Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameelezea masikitiko yake na kuwapa pole wahanga wa vita katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo//Korea Kaskazini imesema luteka ya pamoja ya kijeshi kati ya Marekani na washirika wake imevuka mpaka na kuifanya hali kuwa ngumu zaidi

https://p.dw.com/p/4N00p