1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Stella Nyanzi: Mwanaharakati wa haki za binaadamu Uganda

4 Mei 2022

Stella Nyanzi mkosoaji mkubwa wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, baada ya miaka ya ukandamizaji wa kisiasa kwenye nchi yake, mwanaharakati huyu wa haki za binaadamu amepata makaazi nchini Ujerumani. Tazama kwenye #VijanaMubashara #77Asilimia

https://p.dw.com/p/4ApPW