1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Soko la Krismasi la Stadgarten mjini Cologne

21 Desemba 2023

Nchini Ujerumani kuna utamaduni wa Masoko ya Krismasi kila wiki nne kabla ya sherehe yenyewe, ambapo vibanda vilivyopambwa kwa mataa ya Krismasi hunadi bidhaa, vinywaji na vyakula tofauti huku maelfu ya watu wakihudhuria. Lennart Attenberger ametembelea Soko la Krismasi la Stadtgarten mjini Köln na kuandaa video hii.

https://p.dw.com/p/4aRzZ