1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Uchumi

Shirika la Kijerumani la AHK lazindua ofisi Nairobi

Thelma Mwadzaya18 Aprili 2018

Shirika la Ujerumani la AHK linalotoa huduma za ushauri kwa wawekezaji wa Kijerumani nchini Kenya limepata makazi mapya jijini Nairobi. Hatua hio mpya inaliweka shirika la AHK katika nafasi nzuri hasa ukizingatia kuwa serikali ya Kenya iko mbioni kutimiza ahadi yake ya kufanikisha maendeleo katika uwekezaji na viwanda.

https://p.dw.com/p/2wG1U