1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Serikali iharakishe tathmini kwa waathirika wa Hanang

Deo Kaji Makomba
11 Desemba 2023

Waathirika wa maporomoko ya matope wilayani Hanang mkoani Manyara, wanasema bado wanakabiliwa na hali ngumu ya kimaisha baada ya kupoteza kila kitu. Himizo lao kwa serikali ni kuharakisha tathmini na kuwafidia waathirika wa mkasa huo.

https://p.dw.com/p/4a2ru