1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sema Uvume:Uzinduzi wa jukwaa la soko mtandaoni nchini Kenya

Wakio Mbogho11 Aprili 2023

Wanawake wamehimizwa kujihusisha na ujasirimali kupitia mifumo kama hii inayowapa soko nchini na kimataifa, ili waweze kujimudu kifedha. Mashirika na taasisi za kifedha vilevile zimetakiwa kuweka mikakati ya kuwakinga wateja wao dhidi ya uhalifu wa mitandaoni, ikizingatiwa kuwa siku hizi shughuli nyingi zinatekelezwa kwa njia ya kidigitali.

https://p.dw.com/p/4PuxE